OUP Our Lives Today Environmental Grade 2 Workbook
KSh500.00 Original price was: KSh500.00.KSh450.00Current price is: KSh450.00.
Our Lives Today Environmental Activities Workbooks is a unique, fun-filled series that comprehensively covers the new competency-based curriculum. Each book in the series is well researched and skillfully written to aid acquisition of the core competencies, skills, values and attitudes.
ISBN: 9780195747492
Related products
-
Rated 0 out of 5
Kiswahili Dadisi Mazoezi ya Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 2
KSh593.00Original price was: KSh593.00.KSh534.00Current price is: KSh534.00.Add to cartKiswahili Dadisi. Mazoezi ya Lugha ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa Umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunzo. Pia vinakura umili uliopendekezwa, maadili kufahamisha kuhusu masualaibuka.
Katika Kiswahili Dadisi. Mazoezi ya Lugha, kitabu cha Mwanafunzi. Gredi 2. utapata :
-mada zilizopangwa Kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya
-mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika
-mazoezi nje ya darasa ili kuendeleza ujifunzaji na kuwashirikisha wanafunzi katika shughuli za kijamii zinazokuza ujifunzaji mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja
-Jinsi ya kuwashirikisho wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikajiKiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha, kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji
ISBN: 9780195746839
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Ire Activities Grade 2 Learner’s book by Idris Matsukhu Makokha, Miriam Omar, Mwanaidi Lyani Omar, Hamisa Atemba Shabaan, Jumaa Yusufu Kumala
KSh362.00Original price was: KSh362.00.KSh325.00Current price is: KSh325.00.Add to cartIslamic Religious Activities is a learning area aimed at equipping the learner with knowledge, skills, competences and desired attitudes that enhance morals, values and spiritual development. This wilt enable the learner live a morally upright life acceptable in the society. KLB Visionary Islamic Religious ACtivities Grade 2 Learner’s Workbook has been developed in line with the requirements of the new Competency Based Curriculum Design.The experiences have been aligned with the thematic integrated approach that is recommended for learners at this level. This Workbook is also majorly illustrated to enliven the content with the text following the design closely. KLB Visionary Islamic Religious Activities Grade 2 Learner’s Workbook has employed a learner-centered approach where all experiences are centred on the child’s interests, knowledge and application to real life situations in line with the Life Approach Method of teaching Islamic Religious Activities. Learners encounter different situations and gain experience from what happens around them. Therefore, every lesson has something to draw from learner’s day-to-day activities.
ISBN: 9789966652249
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary English Literacy Grade 2
KSh390.00Original price was: KSh390.00.KSh360.00Current price is: KSh360.00. -
Rated 0 out of 5
Mentor Art and Craft Activities Grade 2
KSh488.00Original price was: KSh488.00.KSh440.00Current price is: KSh440.00.Add to cartMENTOR Art and Craft Activities Grade 2 workbook is fully in line with the Competency Based Curriculum (CBC). The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for a Lower Primary Learner. This book has been authored by teachers with a wide experience in Early Years Education in leading schools across Kenya.
ISBN: 9789966012036
-
Rated 0 out of 5
Akili pevu Kiswahili Angaza Kitabu cha Mwanafunzi Grade 2 by Shabaan Otieno, Mziwanda Banda
KSh631.00Original price was: KSh631.00.KSh570.00Current price is: KSh570.00.Add to cartKiswahili Angaza ni kazi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:
1. Kusoma ni kutagusano; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;
2. Wanafunzi wancionza kilo somo kwa kuelezea picha au hall amo matukio wanayoyafomu huku wakijadiliana;
3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria kama vile kuchanganua, kutambuo, kubainisha, kujenga na kuhakiki;
4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno no isiyokuwa no maneno mogumumagumu no misomiati ya kubaboisha;
5. Mwanafunzi no mwanafunzi mwenzoke, pamoja na mwolimu, mzazi na hata jornii nzimo wanashirikishwa ndani ya kitobu hiki.ISBN: 9789966562845
Reviews
There are no reviews yet.