Mentor Kielekezi cha Shughuli GD1
KSh511.00 Original price was: KSh511.00.KSh460.00Current price is: KSh460.00.
KIELEKEZI cha Shughuli za Kiswahili Gredi 1 kimewasilisha kikamilifu mahitaji ya mtaala mpyaunaozingatia umilisi.
Kitabu hiki kimetumia mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi.
Kimetumia lugha nyepesi iliyokomaa na inayoweza kueleweka na mwanafunzi kwa urahisi.
Kimeangazia stadi zote za kujifunza lugha:
(i) Kusikiliza na Kuzungumza
(ii) Kusoma
(iii) Kuandika
(iv) Msamiati
(v) Sarufi
ISBN: 9789966059666
Related products
-
Rated 0 out of 5
Stadi za Kiswahili Shughuli za Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 1
KSh355.00Original price was: KSh355.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartStadi za Kiswahlli ni Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 1 ni kitabu cha ziada kilichoandakwa kwa mujibu wa mtaala mpya uegemeao umilisi uliozinduliwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitaala ya Kenya (KICD) mnamo Septemba 2017. Kitabu hiki kimejumuisha mada zote kuu na ndogo zilizomo katika ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 1. Isitoshe, mada kuu na ndogo zimepangwa kulingana na jinsi zilivyopongwa katika ruwaza hiyo. Fauka ya haya, yaliyomo yamewasitishwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuyaoanisha na umilisi wa kimsingi, masuala mtambuko, maadili miongoni mwa masuala mengine yanayofumbatwa na mtaala mpya uegemeao umilisi. Kitabu hiki kimejumuisha shughuli za aina nyingi za kufanywa na mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawili wawili na makundi ya wanafunzi. Kazi na shughuli za wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi katika makundi zinadhamiriwa kuimarisha stadi za kusikitiza na kuzungumza na vilevile umilisi wa ushirikiano na mawasiliano. Aidha, kitabu hiki kimesheheni vifungu vya kusoma na vya kuchangamsha vitakavyomsaidia mwanafunzi kuimarisha stadi ya kusoma. Stadi ya kuandika haijaachwa nyuma. Kitabu kinazo shughuli za kutosha za mwanafunzi iii kustawisha stadi ya kuandika.
ISBN: 9789966630520
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Hygiene & Nutrition GD1
KSh340.00Original price was: KSh340.00.KSh300.00Current price is: KSh300.00.Add to cartHygiene and Nutrition Activities is a course intended to equip learners with basic knowledge, skills. and attitudes that promote a happy and healthy lifestyle. The learner is empowered to take care of his or her own wellbeing as well as that of others. The learner is sensitized to adopt healthy practices in order to prevent the occurrence of infections associated with poor hygiene and sanitation practices.
This Learner’s Workbook for Grade 1 comprehensively covers the 2017 competency-based curriculum. The learning activities are presented in a simple concise language and in an attractive layout designed to make the workbook learner friendly.
This workbook incorporates Pertinent and Contemporary Issues (PCIs) as required in the curriculum designs. Some PCIs addressed include education in the following areas: life skills and values, health, and environment.
ISBN: 9789966652386
-
Rated 0 out of 5
Moran Beginning Art and Craft Grade 1
KSh478.00Original price was: KSh478.00.KSh430.00Current price is: KSh430.00.Add to cartBeginning Art and Craft is a day-to-day fun and learn activity book. The book is carefully prepared to enable the learners to enjoy as they further their competencies, skills, and understanding of all the specific learning outcomes in the curriculum design. Peer assessment activities have deliberately been included in the book to enable learners to engage in active learning and develop their ability to reflect on what they learn as they learn from others. This platform is one way of developing numerous competencies and skills through various activities.
ISBN: 9789966632432
-
Rated 0 out of 5
Longhorn English Literacy Activities Learner’s Book Grade 1
KSh486.00Original price was: KSh486.00.KSh440.00Current price is: KSh440.00.Add to cartLonghorn English Literacy Activities Grade 1 Learner’s Book is a book based on the new competency-based curriculum. It promotes the acquisition of core competencies, relevant literacy skills, positive attitudes and values by learners. It also promotes practical application of the knowledge gained in class.
Content in the book is based on the general experiences of the learners as well as Pertinent and Contemporary Issues (PCIs) given in the curriculum. The content is organised in simple but thought-provoking activities that promote critical thinking and problem solving skills as well as acquisition of important life skills among leamers for a responsible response to challenges in the society.
-
Rated 0 out of 5
Focus on Hygiene and Nutrition Grade 1
KSh300.00Original price was: KSh300.00.KSh270.00Current price is: KSh270.00.Add to cartFOCUS on hygiene and nutrition is based on hygiene and nutrition activities learning area for Graded 1.the Book has been developed for the learner and has a variety of activities that the learners can do to enhance their ability to practice hygiene and healthy living.The activities are incorporated In a way that learners will enjoy doing them as they learn. A variety of pictures has also been Incorporated In the relevant places to enhance readability and a better understanding of the concepts. the activities are aligned with the curriculum designs. learning points have also been provided under ‘what I have learned’. to summarize the sub-strand.
ISBN: 9789966012913
Reviews
There are no reviews yet.