OUP New Progressive English Grade 1 Workbook
KSh388.00 Original price was: KSh388.00.KSh350.00Current price is: KSh350.00.
New Progressive Primary English Workbook is a unique fun-filled series that comprehensively covers the new competency-based curriculum. Each book in the series is well-researched and skillfully written to aid acquisition of the core competencies, skills, values and attitudes.
ISBN: 9780195747393
Related products
-
Rated 0 out of 5
Spear Sharp kids Hygiene and Nutrition G1
KSh467.00Original price was: KSh467.00.KSh420.00Current price is: KSh420.00.Add to cartSharp Kids Series is designed to ensure that learners have rigorous activities, exercises and assignments that cover all the learning outcomes for the new competency based curriculum.
The course books embrace short notes for each topic to aid in recall of course work covered. The notes are followed with numerous topical tasks that evaluate the learner’s competency in each strand, sub-stand; both at home and in school.
This is a course of its kind that will enrich your regular classroom work, making learners enjoy and love school work and life.
Pauline Vaati, Esi King Esi and Jackline S. Joshua are experienced teachers and experts in the new curriculum approach. They write with care and interest to impart the right values in the child’s future.
ISBN: 9789966581075
-
Rated 0 out of 5
EAEP Akili pevu Kiswahili Angaza Gredi 1 (Approved)
KSh555.00Original price was: KSh555.00.KSh500.00Current price is: KSh500.00.Add to cartKiswahili Angaza ni kazi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:
1. Kusoma ni kutagusano; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;
2. Wanafunzi wancionza kilo somo kwa kuelezea picha au hall amo matukio wanayoyafomu huku wakijadiliana;
3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria kama vile kuchanganua, kutambuo, kubainisha, kujenga na kuhakiki;
4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno no isiyokuwa no maneno mogumumagumu no misomiati ya kubaboisha;
5. Mwanafunzi no mwanafunzi mwenzoke, pamoja na mwolimu, mzazi na hata jornii nzimo wanashirikishwa ndani ya kitobu hiki.ISBN: 9789966562821
-
Rated 0 out of 5
Stadi za Kiswahili Shughuli za Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 1
KSh355.00Original price was: KSh355.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartStadi za Kiswahlli ni Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 1 ni kitabu cha ziada kilichoandakwa kwa mujibu wa mtaala mpya uegemeao umilisi uliozinduliwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitaala ya Kenya (KICD) mnamo Septemba 2017. Kitabu hiki kimejumuisha mada zote kuu na ndogo zilizomo katika ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 1. Isitoshe, mada kuu na ndogo zimepangwa kulingana na jinsi zilivyopongwa katika ruwaza hiyo. Fauka ya haya, yaliyomo yamewasitishwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuyaoanisha na umilisi wa kimsingi, masuala mtambuko, maadili miongoni mwa masuala mengine yanayofumbatwa na mtaala mpya uegemeao umilisi. Kitabu hiki kimejumuisha shughuli za aina nyingi za kufanywa na mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawili wawili na makundi ya wanafunzi. Kazi na shughuli za wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi katika makundi zinadhamiriwa kuimarisha stadi za kusikitiza na kuzungumza na vilevile umilisi wa ushirikiano na mawasiliano. Aidha, kitabu hiki kimesheheni vifungu vya kusoma na vya kuchangamsha vitakavyomsaidia mwanafunzi kuimarisha stadi ya kusoma. Stadi ya kuandika haijaachwa nyuma. Kitabu kinazo shughuli za kutosha za mwanafunzi iii kustawisha stadi ya kuandika.
ISBN: 9789966630520
-
Rated 0 out of 5
Spotlight CRE Activities Learner’s Book Grade 1Spotlight CRE Activities Learner’s Book Grade 1
Read moreSpotlight CRE Activities Learner’s Book Grade I has been uniquely designed to greatly benefit Primary One learners in handling New Curriculum CRE Activities. It comprehensively covers Primary 1 CRE Acoviaes Curriculum Design as per the Competency-based Curriculum introduced by the Kenya Institute of Curriculum Development (KICD) M 2017 It is presented in a clear. simple and precise language that makes learning interesting.
ISBN: 9789966571724Â -
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 1 (Approved)
KSh311.00Original price was: KSh311.00.KSh280.00Current price is: KSh280.00.Add to cart
KLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 1 (Kitabu cha Mwanalunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652324
Reviews
There are no reviews yet.