Kanda ya Siri
KSh655.00 Original price was: KSh655.00.KSh590.00Current price is: KSh590.00.
ISBN: 9780195747317
Related products
-
Rated 0 out of 5
Ahaa! Roda by Nyambeka
KSh355.00Original price was: KSh355.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartRoda ni msichana mdogo ambaye ana ndoto ya kufanikiwa maishani – ndoto ya kuwa jaji. Maisha katika kijiji cha Tupe si rahisi hata kidogo. Kwanza anatoweka asijulikane alipo. Pili mama yake anauawa kinyama na watu wasiojulikana. Baada ya mazishi ya mama yake, mjomba wake Bwana Kilemba anamchukua ili kumtunza. Mke wake Bibi Mnuna yuaonekana kutopendezwa na hatua hiyo. Anageuka kuwa katili kwake Roda. Je, Roda ataweza kuitimiza ndoto yake mikononi mwa Mnuna? Usisubiri kuambiwa uisome hadithi hii.
ISBN: 9789966075628
-
Rated 0 out of 5
Uchochole si Kilema by Nyambu
KSh244.00Original price was: KSh244.00.KSh220.00Current price is: KSh220.00.Add to cartKulanga alizaliwa katika maingira magumu yasiyosikika wala kutajika.
Hali hii haikulua ndoto yake ya kufanikiwa Tabia njema na bidii yake
zilimfanya aheshimike na walimu pamoja na wenzake shuleni
Wavyele wake walipoipa dunia kisogo, ilionekana kana kwamba hataweza kufikia ile ndoto ya ajabu aliyokuwa nayo.
Mfadhili wake anauawa kwa sumu na kisha mke wa mfadhili kukatisha ufadhille kijana huyu atafanyaje i kufanikiwa
maishani na kuifikia ndoto yake?ISBN: 9789966075260
-
Rated 0 out of 5
Wendo tours Nairobi County by (Omwocha)
KSh322.00Original price was: KSh322.00.KSh290.00Current price is: KSh290.00.Add to cartWendo Wanani is a pupil at Kaptiket Primary school in Kericho County.
She has never been to Nairobi. She takes part in an essay writing competition titled ‘Kenya, my Beautiful Land,
and is invited to Nairobi for the finals.
Together with nine other pupils from different schools across the country,
Wendo’s reward is to tour the city under the sun – Nairobi. From parks to statues,
museums to roads she has never heard about, Wendo is on a discovery mission.ISBN: 9789966140104
-
Rated 0 out of 5
Mti wa Ajabu by Nyambura Mpesha
KSh228.00Original price was: KSh228.00.KSh205.00Current price is: KSh205.00.Add to cartKatika nchi ya Tofali, paliondokea mti ambao ulishangaza kila mtu. Alfajiri, majani ya mti huo yaligeuka rangi na kuwa ya buluu, mchana yakawa ya kijani, alasiri yakawa njano, jioni yakawa ya hudhurungi na meusi usiku. Jinsi mti huo ulivyokua kwa kimo, ndivyo ulivyopanuka. Mti huo ulitisha. Hakuna mtu aliyethubutu kuukaribia.Siku moja vijana wawili wakakamavu waliamua kuukaribia. Je, waliangamizwa na mti huo wa ajabu au walirudi kijijini wakiwa wazima?
ISBN: 9789966342508
-
Rated 0 out of 5
Moran Integrity Readers: Knock at the door by Moran
KSh261.00Original price was: KSh261.00.KSh235.00Current price is: KSh235.00.Add to cartMother has cooked a lot of maandazi. They are for visitors. Debo feels that the maandazi are hers. Will Debo let the visitors eat the maandazi?
ISBN: 9789966347879
Reviews
There are no reviews yet.