Epuko’s Secret Home 4d by Erapu
KSh238.00 Original price was: KSh238.00.KSh215.00Current price is: KSh215.00.
ISBN: 9789966257178
Related products
-
Rated 0 out of 5
Wendo tours Nairobi County by (Omwocha)
KSh322.00Original price was: KSh322.00.KSh290.00Current price is: KSh290.00.Add to cartWendo Wanani is a pupil at Kaptiket Primary school in Kericho County.
She has never been to Nairobi. She takes part in an essay writing competition titled ‘Kenya, my Beautiful Land,
and is invited to Nairobi for the finals.
Together with nine other pupils from different schools across the country,
Wendo’s reward is to tour the city under the sun – Nairobi. From parks to statues,
museums to roads she has never heard about, Wendo is on a discovery mission.ISBN: 9789966140104
-
Rated 0 out of 5
Siku za Juma 1a by Nyakeri
KSh225.00Original price was: KSh225.00.KSh203.00Current price is: KSh203.00.Add to cartJuma na Maria ni wanafunzi wa darasa la kwanza. Wao hufanya mambo mbalimbali kila siku. Mambo ambayo wanafanya nyumbani ni tofauti na mambo wanayofanya shuleni. Soma kitabu hiki. Utajua ni mambo gani Juma na Maria wanafanya.
ISBN: 9789966342478
-
Rated 0 out of 5
Siri ya baba yangu kitabu cha kwanza by Yahya Mutuku
KSh355.00Original price was: KSh355.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartNi wakati wa usiku, usiku wa mashetani wakati kijana Fadhili anapozinduka na kumfumania baba yake akiufunga mlango wa chumba chake. Ni baba anayetekeleza mpango wa siri asiofaa kuujua Fadhili.
Fadhili anaamua kukitegua kitendawili cha tukio hilo kwa kujiingiza katika hatari zisizo kifani. Hii ni mojawapo ya hadithi ambayo imefumwa ikafumika mfumo ambao utamshangaza yeyote atakayeisoma.ISBN: 9789966075604
-
Rated 0 out of 5
Ngano za Mashairi
KSh289.00Original price was: KSh289.00.KSh260.00Current price is: KSh260.00.Add to cartNgano za mashairi ni mkusanyo wa hadithi fupifupi za kuchangamsha. Kila hadithi inafuatwa na shairi rahisi la kusisitiza yaliyosimuliwa. Pamoja na kuburudisha hadithi zilizomo zinato Mfunzo muhimu kwa wasomaji.
ISBN : 9789966342386
-
Rated 0 out of 5
Ahaa! Roda by Nyambeka
KSh355.00Original price was: KSh355.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartRoda ni msichana mdogo ambaye ana ndoto ya kufanikiwa maishani – ndoto ya kuwa jaji. Maisha katika kijiji cha Tupe si rahisi hata kidogo. Kwanza anatoweka asijulikane alipo. Pili mama yake anauawa kinyama na watu wasiojulikana. Baada ya mazishi ya mama yake, mjomba wake Bwana Kilemba anamchukua ili kumtunza. Mke wake Bibi Mnuna yuaonekana kutopendezwa na hatua hiyo. Anageuka kuwa katili kwake Roda. Je, Roda ataweza kuitimiza ndoto yake mikononi mwa Mnuna? Usisubiri kuambiwa uisome hadithi hii.
ISBN: 9789966075628
Reviews
There are no reviews yet.